Mjasiriamali kutoka Rocky,s Product Zahrock Ahmed (kushoto) akionyesha bidhaa zake mbalimbali anazozitengeneza kwaajili ya viungo mbalimbali vya chakula (spices) wakati Mke wa Rais wa Burundi Mama Dkt, Denise Bucumi Nkurunziza alivyotembelea katika mabanda ya maonyesho ya wanawake wajasiriamali katika viwanja vya Taasisi ya WAMA jijini Dar es Salaam Aug,4,2011, Wapili kulia ni Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete, , (Picha na Mwanakombo Jumaa-MAELEZO) |
No comments:
Post a Comment