Tuesday, August 9, 2011

Rais Wa Somalia Atua Tena Tanzania

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akikumbatiana na mgeni wake Rais Sheikh Sharif Ahmed wa Jamhuri ya Somalia alipowasili jana mchana kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini.
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Rais Sheikh Sharif Ahmed wa Jamhuri ya Somalia wakipita katikati ya gwaride la mapokezi ya mgeni huyo mara baada ya kuwasiri kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.

No comments:

Post a Comment