Thursday, September 15, 2011

JK Ampokea Rais Wa Visiwa Vya Comoro


1. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais wa Umoja wa visiwa vya Comoro Dr.Ikililou Dhoinine katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo mchana.

2. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Rais wa Umoja wa visiwa vya Comoro Dkt.Ikililou Dhoinine muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo mchana(Picha : Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment