Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiangalia magunia ya karafuu zilizonunuliwa katika kituo cha ZSTC Daya Mtambwe jana walipofanya ziara ya kutembelea kituo hicho pamoja kambi za wachumaji wa Karafuu,Wilaya ya wete jana,(kushoto) Naibu Mkurugenzi wa ZSTC Pemba Hamad Khamis Hamad,(13/08/2011)
|
No comments:
Post a Comment