Sunday, August 14, 2011

Dr Shein Atembelea Kituo Cha Ununuzi Karafuu


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiangalia magunia ya karafuu zilizonunuliwa katika kituo cha ZSTC Daya Mtambwe jana walipofanya ziara ya kutembelea kituo hicho pamoja kambi za wachumaji wa Karafuu,Wilaya ya wete jana,(kushoto) Naibu Mkurugenzi wa ZSTC Pemba Hamad Khamis Hamad,(13/08/2011)

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, wakijumuika na wakulima wa zao la kafuu kuchambua karafuu zilizochumwa katika kambi ya karafuu Daya Mtambwe,akiwa katika ziara ya kutembelea kambi za wachumaji wa karafuu,Mkoa wa Kaskazini Pemba.(13/08/2011)

No comments:

Post a Comment