Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohammed Shein akipima karafuu katika uzinduzi wa Uchumaji wa zao hilo huko Mkanyageni Pemba...
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohammed Shein akianika Karafuu pamoja na Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Nassor Ahmed Mazrui katika siku ya uzinduzi wa Uchumaji wa zao hilo Msimu huu huko Pemba.
No comments:
Post a Comment