Monday, August 15, 2011

SOBER HOUSE YATEMBELEWA NA MAAFISA WA MADAWA YA KULEVYA

Viongozi waadamizi wa kitengo cha Madawa ya kulevya wakisikiliza kwa utulivu maelezo yaliyotolewa na waratibu pamoja na waathirika wa madawa ya kulevya katika ziara yao kujifunza jinsi ya kupunguza matumizi ya madawa Zanzibar
Vijana wa Sober house tawi la Tomondo wakiwa katika picha ya pamoja na Maafisa waandamizi wa madawa ya kulevya.
Mimi pia nikuwepo wakati wa picha ya pamoja pamoja na kamkoba changu kwani nilipomaliza tu nilikimbilia kwenda kutafuta futari.Picha Zote na Mdau Othman Mapara

No comments:

Post a Comment