Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba, Deus Kibamba, akikata utepe kauashiria kuzindua chapisho Mwongozo wa Katiba kwa Raia, jijini Dar es Salaam jana. Uzinduzi huo ulifanyiaka katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo mbele katika mkutano na waandishiwa habari. Mwingine ni Hebron Mwakagenda, Mwenyekiti mwenza wa Policy Forum, waandaaji wa chapisho hilo.
No comments:
Post a Comment