Monday, May 21, 2012

RAIS AKUTANA NA UONGOZI WIZARA YA KILIMO MALIASILI, NA MIFUGO UVUVI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Kilimo na
Maliasili,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo huko
Ikulu Mjini Zanzibar jana,(kushoto) Makamo wa kwanza wa Rais Maalim
Seif Sharif Hamad.  [ Picha  na Ramadhan Othman,IKULU.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Mifugo na
Uvuvi,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo huko Ikulu
Mjini Zanzibar jana,  [ Picha  na Ramadhan Othman,IKULU.]

No comments:

Post a Comment