Sunday, July 24, 2011

Zeco:Wazungumzia Kuhusu Matumizi Ya Majenereta Ya Dharura

MENEJA Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar Hassan Mbarouk akizungumza na Waandishi wa habari vyombo mbalimbali, Ofisini kwake kuhusiana matumizi ya majenereta ya dharura.
WAANDISHI wa habari wakimsikiliza Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme alipokuwa akitowa maelezo ya mwenendo wa matumizi ya Umeme kwa Wateja wa bidhaa hiyo ofisini kwake Golioni.Picha na Mdau Othman Maulid-Zanzibar

No comments:

Post a Comment