Mkuu wa mkoa wa Mbeya akifafanua jambo kwenye mkutano huo na madereva
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mwakipesile akiwa amekasirika baada ya kukutana na maswali mengine yanayoonyesha kutokukubaliana na yale wanayoshauriwa!
Uongozi wa madereva pamoja na mkuu wa mkoa katikati na kushoto kwake ni Mkuu wa wilaya ya Mbozi wakisikiliza jambo kutoka kwa madereva hao
Meneja wa TRA kitengo cha forodha bwana Rogacian Shirima akizungumzia kuongeza idadi ya siku za kusimamia magari hayo kutoka Dar hadi Tunduma ama Kasumulu ambapo watachukua siku saba badala ya siku tano za awali.
Kamanda wa polisi wilaya ya Mbozi Afande Ernest Dudu akizungumzia utaratibu Trafiki kukagua magari hayo tu pale yanapokuwa mizani.
Hapa viongozi wa madereva wa Magari ya biashara wakikataa hivi hivi pale hoja yao ilipokumbana na upinzani wa wale wanaowaongoza.Chanzo ni mbeyayetu.blogspot.com
No comments:
Post a Comment