Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituoncha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera akitoa maelezo ya jinsi mtambo wa uendeshaji wa umeme unavyofanya kazi kwa waandishi wa habari.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiangalia jinsi bwawa la Mtera ilivyopungua maji.
Mhandisi Mkuu wa Uendeshaji kutoka kituo cha kuzalisha umeme kwenye bwawa la Mtera ,Julius Chomolla akionyesha kipimo cha kuonyesha maji yaliyopungua. Picha na Magreth Kinabo-MAELEZO
No comments:
Post a Comment