Tuesday, July 26, 2011

Ni mambo ya Mzee Ernest Paulo Waya




Mzee Ernest Paulo Waya  aliyepigana vita kuu ya pili vya Dunia akiongea na Mbeya Yetu, amesema serikali imewatelekeza na kutowajali kwa chochote na kuwazulumu mafao yao mashujaa hao wa zamani ila huwaona wamaana sana siku ya mashujaa na kuwaita ili washiriki pamoja siku hiyo zoezi hilo likiisha huwatelekeza mpaka mwaka mwingine tena mzee Waya amesema ndiyo maana mwaka huu wenzake wengi hawajaja wapo kujitafutia riziki maana kula yao niyashida sana!

No comments:

Post a Comment