Friday, September 23, 2011

Rais Jakaya Kikwete Ahutubia Baraza La Umoja Wa Mataifa Nakukutana Na Kiongozi Wa Serikali ya Mpito Nchini Libya

 
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa jijini New York jana
 
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na kiongozi wa serikali ya mpito ya Libya Bw. Mustafa Abdel-Jalil jijini New York Marekani ambako wote wanahudhuria mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa
 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika maongezi mafupi na kiongozi wa serikali  ya mpito ya Libya Bw. Mustafa Abdel-Jalil
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtabulisha Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Mh Ombeni Sefue kwa  kiongozi wa serikali  ya mpito ya Libya Bw. Mustafa Abdel-Jalil.Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment