![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiO5Ltu_fMGlh1b2UyCzFYVweEiNJZ0rvpfpyYkbYbNdZALeHl7j1HWnFfcmcE-X85_fXZyE782s-D0Pcr-rC1fV7MGLBD5Y7blmjZA5qLYRxuL4gKLag1xPaNeKRoFfml1-aIvnWAil7U/s640/fedhaaa.jpg)
Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo(kushoto) akibadilishana hati ya msaada wa kiasi cha bilioni 133 na Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Tonia Kandiero(kulia) (leo) mjini Dar es salaam kwa ajili ya miradi ya kilimo na elimu nchini.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgdH-xAhyphenhyphen7G8lf-aoX3EjyMiug2HZQQH97OqyB3qx6RCu-MTkAoLOvMct5pNWXv1rq1Vn1hA-6TwmC0US-ci0tLXm2G79L8ErsCEuR5ZWAS-EBj-aIed9g3SulsctcRoxKdC_H4_IbuTt0/s640/adb.jpg)
Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo(katikati) akijibu maswali ya waandishi wa habari (leo)mjini Dar es salaam mara baada ya kupokea hati ya msaada wa kiasi cha bilioni 133 kutoka kwa Mwakilishi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Tonia Kandiero(kulia) kwa ajili ya miradi ya kilimo na elimu nchini.Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es salaam
No comments:
Post a Comment