Thursday, June 7, 2012

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa Akutana na Kamati ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Mazingira


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akizungumza na Kamati ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Mazingira kwenye ukumbi wa Hazina kulia Mwenyekiti wa Kamati hiuo James Lembeli kushoto Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga,Naibu katibu Mkuu Eng Ngosi Mwihava,Mh Zakhia Megji kikao hicho kimefanyika leo Mjini Dar es Salaam.Picha na Ali Meja

No comments:

Post a Comment