Sunday, June 3, 2012

JK Akutana Na Rais Wa Somalia



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Sheikh Shariff Ahmed aliyekutana naye jana june 2, 2012 jijini Arusha.
Pamoja na mambo mengine Rais Kikwete na mgeni wake waliongelea hali ya usalama katika nchi hiyo ya pembe ya 
Afrika na pia akamhakikishia Rais huyo ushirikiano wa kila aina katika kuhakikisha utulivu unarejea nchini Somalia.

PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment