Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mchango wa Shilingi Milioni Moja, Mkurugenzi wa Kikundi cha Zanzibar One Taarab Ustadhi Abdulla Ali{ Du } kufuatia ahadi yake aliyoitowa 21/4/2012 wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia miaka mitano ya Kikundi hicho yaliofanyika katika Ukumbi wa Bwawani , makabidhiano hayo yamefanyika Ofisi ya Makamu Vuga,.Picha na Hassan Issa-Ofisi ya Makamu wa Pili Wa Rais Zanzibar
No comments:
Post a Comment